logo

DKT.BITEKO ASHIRIKI SEMINA YA WABUNGE BUNGENI JIJINI DODOMA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko leo Aprili 30,2024 bungeni jijini Dodoma ameshiriki katika semina ya wabunge ambapo mada zilizowasilishwa ni pamoja na kukatika kwa umeme na hatua zitakazochukuliwa pamoja na Nishati Safi ya Kupikia.

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn