MWIMBAJI SHAKIRA ATUNUKIWA TUZO YA 'MWANAMKE BORA 2023'
MWIMBAJI Maarufu Kutoka Nchini Colombia Shakira, Ametunukiwa Tuzo ya Billboard ya Wanawake Kupitia Muziki wa Kilatini huko Miami Nchini Marekani.
.
Katika kuonekana kwake hadharani kwa mara ya kwanza tangu ahamie Miami mwezi uliopita, @shakira alitoa hotuba yenye hisia na kukubali tuzo ya kwanza ya Mwanamke Bora wa Mwaka kwenye Billboard ya kwanza ya Mujeres Latinas en la Música, akimshukuru mama yake, marafiki zake na wanawake kwa ujumla.
#JordanMediaupdates
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

