logo

MSANII MASAUTI: WATANGAZAJI KENYA ACHENI KUWAOMBA HELA WASANII

Mwanamuziki Kutoka Nchini Kenya,Masauti aka Kenyan Boy amekemea vikali tabia ya baadhi ya watangazaji wa radio Kutoka Nchini humo kutaka pesa kutoka kwa wasanii ili wacheze nyimbo zao Redioni.

Kwa mujibu wa msanii huyo, amesema kuna vipaji vingi ambavyo vimekanyagwa na watangazaji ambao uangalia maslahi ya matumbo yao zaidi kuliko kukuza vipaji hivyo.

Hata hivyo,Masauti amewataka wasanii kutokufa moyo na badala yake kufanya kazi zaidi.

#JordanMediaupdates

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn