logo

ALIKIBA AHAMIA SIMBA SC, APEWA JEZI

Rasmi Staa wa Muziki wa Bongo Fleva Kutoka Hapa Nchini Ally Kiba 'King Kiba' @officialalikiba amehamia kwenye Klabu Ya Simba SC, na Siku Ya Simba Day Agosti 6 atakuwa mtumbuizaji mkuu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

#JordanMediaupdates

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn