logo

NAMELESS AMESEMA ANAFIKIRIA KUFUNGA KIZAZI, WATOTO 3 WANAMTOSHA

MWANAMUZIKI Kutoka Nchini Kenya, Nameless amesema Kwa Hivi Sasa anafikiria Kufanya Maamuzi Ya kufunga kizazi kabisa Na Mishipa ya mbegu za kiume itakayofungwa kupitia njia ya kupanga uzazi ya Vasectomy.

Nameless amesema ametosheka na watoto wake watatu wa kike na hataki kuona Mkewe Wahu Kagwi na ujauzito tena .

.

Hatua ya Nameless kuhitaji kufunga uzazi imezua maswali mengi Kutoka Kwa Watu Mbalimbali kwani si kawaida kwa wanaume wa kiafrika kufanyiwa jambo hilo.

#JordanMediaupdates

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn