MAULID KITENGE, GERALD HANDO WATUA WASAFI FM
WATANGAZAJI Maulid Kitenge Pamoja Na Gerald Hando, Leo April 19,2023 wametua katika Kituo Cha Redio Cha Wasafi FM Mara Baada ya Mkurugenzi wa Kituo Hicho Cha Redio, Diamond Platinumz Kuwatoa Kutoka Katika Kituo Cha Redio Cha E-fm.
.
Imethibitishwa Rasmi Ya Kwamba Kuanzia Sasa Hivi, Sauti Zenye Mamlaka za Watangazaji Hao zitasikika kwenye Masafa ya 88.9 @WasafiFm Katika Kipindi Cha Asubuhi Kinachoitwa "GOOD MORNING"
#JordanMediaupdates
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

