MZEE CHANGGEN AFANYA MAZOEZI YA YOGA KWA MIAKA 22
MZEE Lei Changgen mwenye umri wa miaka 71 kutoka mji wa Chongqing, Kutoka Nchini China, amefanya mazoezi ya Yoga kwa miaka 22.
.
Chanzo cha mzee huyo kuanza kujifunza Yoga ni maumivu ya shingo.
.
Sasa mzee huyo ana afya nzuri, hana maradhi yoyote ya kimsingi kama vile shinikizo la damu au ugonjwa wa kisukari.
#JordanMediaupdates
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

