logo

FUNKY MATAS AWEKA REKODI ‎YA DUNIA KWA KUWA NA TATTOO 273 ‎

Msanii wa tatoo Funky Matas, ameweka Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya saini zilizochorwa mwilini kwa mwanaume, akiwa na jumla ya tatoo 273 mgongoni.

‎.

‎Miongoni mwa waliotia saini kwenye mwili wake ni nyota wakubwa kama 50 Cent, Kelly Clarkson, Bad Bunny, Samuel L. Jackson, na Usain ..

‎Mradi huo ulianza kama wazo dogo la kibinafsi kati ya yeye na marafiki, lakini baadaye ukawa safari ya kipekee ya kusherehekea upendo, ushirikishwaji na msukumo.

‎.

Funky huchagua kwa makini watu ambao wametoa mchango chanya katika maisha yake, na kila sahihi hubadilishwa kuwa tatoo mara moja au muda mfupi baada ya kutiwa.

‎Ingawa hakuwahi kupanga kuvunja rekodi, safari yake sasa imegeuka kuwa kielelezo chenye thamani cha uhusiano, kumbukumbu na furaha.

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn