logo

‎SILLO ACHAGULIWA NAIBU SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Mheshimiwa Daniel Sillo Baran amechaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

‎Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo Bungeni, Katibu wa Bunge, Ndg. Baraka Leonard amesema Mhe. Daniel Sillo Baran amepata kura zote zilizopigwa na Waheshimiwa Wabunge 371.

‎Uchaguzi huo umefanyika wakati wa Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 13 uliofanyika leo Novemba 13, 2025.

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn