TIMU YA Al-NASSR KUSHIRIKI KWENYE MICHUANO YA UEFA 2024/25
Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA Champions League) inafikiria kuialika Timu ya Al-Nassr kushiriki kwenye michuano ya UEFA Champions League kwa toleo la 2024/25 la mashindano hayo, Hii ni kwa mujibu wa Ali Al-Harbi.
.
Kulingana na UEFA, Al-Nassr inachukuliwa kuwa moja ya "vilabu 3 maarufu" ulimwenguni 👀 hivyo kuingia kwenye Michuano itasaidia kutangaza zaidi UEFA duniani kote.
#JordanMediaupdates
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

