MWENGE WA UHURU WATUA MKOA WA TANGA LEO
MKOA wa Tanga Leo Mapema Juni 9,2023 umepokea Mwenge wa Uhuru kutokea Mkoa wa Kusini Pemba.
.
Mwenge huo utakimbizwa kwenye halmashauri 11 za Mkoa wa Tanga ambapo umekimbizwa na Mkuu Wa Wilaya Ya Tanga Mjini Mhe.Hashim Mgandilwa, Na Kesho Juni 10 ataukabidhi Katika Wilaya Ya Pangani Kwa Mhe. Zainab Abdallah Na Juni 19 utakwenda Wilaya Ya Korogwe Kwa Mhe.Jokate Mwegelo na hatimaye Juni 20,2023 utakabidhiwa Katika Mkoa wa Kilimanjaro.
#JordanMediaupdates
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

