logo

USM ALGER MABINGWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA 2023

TIMU ya USM Alger ya Algeria imetwaa ubingwa wa kombe la shirikisho Afrika kwa faida ya bao la ugenini kifuani sare ya jumla ya 2-2.

Safari ya wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye kombe la shirikisho Afrika imeishia fainali na wanakuwa washindi wa pili.

#JordanMediaupdates

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn