logo

RC SENDIGA AHAMISHIWA MKOA WA MANYARA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya baadhi ya Wakuu wa Mikoa, uteuzi wa Mkuu wa Mkoa, uhamisho wa Wakuu wa Mikoa na uteuzi wa Mkuu wa Wilaya.

.

Samia amemteua Mhe.Queen Cuthbert Sendiga (ambaye Ni Mkuu Wa Mkoa Wa Rukwa) Kwenda Kuwa Mkuu Wa Mkoa Wa Manyara Akichukua Nafasi ya Mhe.Charles Makongoro Nyerere ambaye amehamishiwa katika mkoa wa Rukwa.

#JordanMediaupdates

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn