VIJANA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA VITENDO VYA UKATILI -JOYCE NYANGI
Mwenyekiti wa SMAUJATA Mkoa wa Morogoro Shujaa Bi. Joyce Hamis Nyangi amewaasa vijana wahitimu wa CASFETA na UKWATA kujiepusha na vitendo vya ukatili vinavyofanyika kwenye jamii zetu.
.
Bi. Joyce ameyasema hayo Novemba 06,2025 alipokuwa ameshiriki mahafali ya kidini ya CASFETA na UKWATA katika Chuo Cha FDC kilichopo Ilonga.
.
Mwenyekiti huyo alitoa elimu ya ukatili wa kijinsia kwa kuelezea maana na aina ya ukatili,jinsi ya kuripoti na kuepuka vitendo vya ukatili.
.
Aidha, Amewaasa vijana kuilinda amani tuliyonayo na kutoa taarifa kwa vyombo husika endapo wataona viashiria vya kuvunjika kwa amani vipo.
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

