logo

KAMISHNA JENERALI LYIMO AKAGUA MABANDA NA KUTOA TUZO KWENYE MAADHIMISHO YA KITAIFA YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA JIJINI DODOMA

Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya (DCEA) Aretas Lyimo leo Juni 26,2025 amekagua mabanda na kukabidhi tuzo ya ushiriki kwa mabanda ya wadau mbalimbali walioshiriki katika Maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya katika viwanja vya ukumbi wa Mkutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn