logo

DC JOKATE AWATAKA WAJAWAZITO KUJIFUNGUA KATIKA VITUO VYA AFYA

MKUU wa Wilaya ya Korogwe Mhe.Jokate Mwegelo amewataka wanawake wajawazito kuacha Tabia Ya kujifungulia nyumbani .

Jokate amesema hayo wakati wa hotuba yake ya kumkaribisha mgeni rasmi wa Mbio hizo za MAMATHON ambazo zimeshirikisha wamama wajawazito wa Wilaya ya Korogwe.

Mkuu Huyo Amesema kuwa Serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan imeweza kujenga Vituo vya Afya na zahanati katika kila Kata na kijiji cha Korogwe hivyo hakuna sababu ya wao kuendelea kujifungulia majumbani.

#JordanMediaupdates

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn