WIZARA YA UCHUKUZI TUTAENDELEA KUIMARISHA HUDUMA BORA ZA UCHUKUZI NCHINI -PROF.MBARAWA
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa ameliambia Bunge la Tanzania kuwa Wizara yake kupitia Mamlaka za udhibiti nchini, zimeendelea kuimarisha huduma na ubora wa huduma za uchukuzi nchini ili kukidhi viwango vinavyohitajika kote duniani.
Kauli ya Waziri Mbarawa ameitoa leo Mei 15, 2025 wakati akiwasilisha Hotuba ya bajeti ya Wizara yake kwa Mwaja wa fedha 2025/26 leo Bungeni Mjini Dodoma akizitaja Mamlaka hizo zenye kusimamia huduma za uchukuzi kuwa ni pamoja na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) na Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCA).
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

